Uvira-RDC: mwanaume moja mwenye kushikilia silaha auawa kwa risasi

(Kiswahili kitafata)

La nuit de mercredi, aux environs de 2 heures du matin, les habitants du quartier Rombe II, sont paniqués par de tirs nourris. Bilan un homme tué. L’information est livrée par la jeunesse et confirmée par la police.
Après enquête l’homme tué par balle c’est un militaire FARDC habillé en tenue civile, son fusil Ak 47 est récupérée le matin de jeudi par les agents de l’ordre.
La source militaire précise que cet élément serait affecté au même endroit ou il a été tué pour faire la garde mais on ne comprends pas comment il s’est retrouvé en tenue civile ayant aussi une carte d’électeur tenant lieu de la carte d’identité nationales et une arrestation de perte de la carte d’électeur.
On nous signale qu’un groupe de bandits armés qui tentaient d’opérer dans ces avenues a pris fuite. 
Kiswahili:
Usiku wa siku tatu kuamkia siku y’a inné, majira ya saa nane usiku, mwanaume moja mwenye kushikilia silaha auawa kwa risasi. Habari hizo zatolewa kwetu na vijana, na kuhakikishwa na polisi.
Duru zetu zaeleza kwamba mwanaume huyo alitambulika kuwa askari jeshi, aliekua mlinzi wa eneo hilo, Ila ameuwawa akivalia nguo za kiraia na bunduki Yale aina y’a kalashnikov kuchukuliwa na walinda usalama, duru hizo zaeleza kwamba kikundi cha wahalifu waliofyatuliana risasi na askari polisi walikimbia. Maiti y’a askari Huyo ilipelekwa kwenye monchwari ya hospitali kuu y’a uvira.

Nikiripoti kwa niaba ya UvuraOnline ni MAZAMBI M’penge Wakul’itete.