luberizi-RDC: Mvua ka haribu mashamba na kusababisha watu kuhama

Shamba za mupunga zaidi ya hecta moja na nyumba zaidi ya makumi mbili zimeharibiwa na maji ya nvuwa kali iliyo nyesha usiku wa hii siku ya ine kuamkia si ya tano pa luberizi munamo groupement ya luberizi.

Hii inatia wengi kuuzunika kwa kuto kutegemea kuwa na chakula huu mwaka nakutia wengi ku hama makao yao.


UviraOnline: Fiston Ruhimbika