Uvira – RDC : Sikukuu ya Noeli 2015

 Wakaaji wa mji wa Uvira, baada ya kukabiliwa na wooga wa wezi, wizi na ubakaji kwa siku nyingi, wamebahatika kusherehekea sikukuu ya Noeli katika hali ya utulivu. Viongozi wa serikali wameahidi kuchunga ulinzi wakati huu wa sikuu kubwa.

Tarehe 24 desemba, makanisa mengi yamebatiza watu kwenye maji mengi ya Bahari ya Tanganyika. Kanisa la 8e CEPAC MULONGWE imebatiza watu 151 walioamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yao.

Siku ya 25 desemba, makanisa mengi yamekumbuka kuzaliwa kwake Yesu, nyimbo nyingi zimeimbwa na mafundisho yenye maana saana. Siku ya jumapili, tarehe 27 desemba, mikutano ya injili iliandaliwa barabarani. Watu wengi pia wameamini Yesu Kristo.

Sikukuu ya Noeli imepitika katika utulivu hapa Uvira.


Pour Uviraonline : Aubain Alan Popov MWAKA MIGAN

Uvira_Ubatizo noel 2015_4Uvira_Ubatizo noel 2015Uvira_Ubatizo noel 2015_1Uvira_Ubatizo noel 2015_6Uvira_Ubatizo noel 2015_3Uvira_messe noel 2015_16Uvira_messe noel 2015_15Uvira_messe noel 2015_14Uvira_messe noel 2015_13Uvira_messe noel 2015_11Uvira_messe noel 2015_10Uvira_messe noel 2015_9Uvira_messe noel 2015_7Uvira_messe noel 2015_6Uvira_messe noel 2015_5Uvira_messe noel 2015_4Uvira_messe noel 2015_2Uvira_messe noel 2015_1Uvira_messe noel 2015_Uvira_2_messe noel 2015_12Uvira_2_messe noel 2015_11Uvira_2_messe noel 2015_10Uvira_2_messe noel 2015_8Uvira_2_messe noel 2015_7Uvira_2_messe noel 2015_6Uvira_2_messe noel 2015_5Uvira_2_messe noel 2015_4Uvira_2_messe noel 2015_3Uvira_2_messe noel 2015_2Uvira_2_messe noel 2015_1Uvira_2_messe noel 2015_