Visite ya page: FIZI ITOMBWE POUR TOUS

UviraOnline ali visiter page Facebook ya groupe FIZI ITOMBWE POUR TOUS hapa moja yabo ya textes zenye zili attiré attention yetu.

FiziOna jinsi maville ya kwetu yako? Hata nyumba moja yamanjanja (Mabati) haiko! Ni kwanini? Ni kwasababu ya ubaguzi fitina ukabila uchoyo na chuki! Wengine wanajijeng alakini sisi tunabaki tukilaumiana nakushutumiana kwavitu visivyo na msingi wowote ule wamaana! tutaendelea lini ikiwa tunapingana nakupigana kila kukicha? Amani upendo furaha umoja vinatakikana kati yetu ili Nasisi wakaaji wa zone ya FIZI tupate maendeleo kama wengine!

Texte ya: Kirara Kiroroge

 

 

 

Hire Mavobi Mirishi‎

 

 

 

Mimi nimsichana wakibembe nataka kuwaweka pamoja watoto wa CONGO. hakuna munyamulenge, mubembe, mupfurero, mushi, tuwe pamoja tujenge inchiyetu nawapenda sana!!!!!

Texte ya: Hire Mavobi Mirishi
Jamani simameni imara tujenge zone ya fizi tuache ya yazamani tugange yajao mambo ya ubaguzi wa makabila iyo ni ujinga mutupu tujenge kwetu
Masomo
Barbara
Hospital
Iyo tukiyizingati itatuwezesha kusahahu ukinga wa kikabira jamani together is one. Kwetu hakuna muzugu wara muhinde sisi ni wazaliwa fizfizi. Minembwe after 10 years naamni Kama itakuwa mujini wakielelezo!
Texte ya: Claver Manzi‎

Fizi ville

One Comment on “Visite ya page: FIZI ITOMBWE POUR TOUS”

  1. asante, sana kwa maoni, mazuri lakini bado, safari, ni ndefu sababu tuko na watu, wengi, bado vichwa vyao vinajaa fitina, hakuna vile itafanyika tena , babembe, banyamulenge, bafulero, na wengine, tutoke, mu sud kivu,

Comments are closed.