Uvira-RDC: AFDC vient de recevoir une moto ce jeudi avant midi

[br] L’alliance pour la force démocratique du Congo AFDC , bureau d’Uvira, vient de recevoir ce jeudi avant midi une moto. Selon le président sectioneurs de cette parti politique, il s’agit d’un don du député national Luc Mulimbalimba Masururu.

C’était devant le bureau du parti à Mulongwe sur l’avenue Fizi à l’artère principale. Le conseiller principale et représentant du député Luc Mulimbalimba, qui a présenté la moto neuf au président territoriale devant les membres du parti AFDC.

Quant au président sectionneur du parti l se dit satisfait de ce don promis par l’un de leur camarade élu dans la circonscription électorale d’Uvira .

Swahili
Chama cha AFDC ofisi ya tarafa ya Uvira imepokea siku ya inne mchana pikipiki kwa ajili ya kuendesha kazi zao. Kwa mujibu wake mwenyekiti tarafani wa chama hicho, ni pikipiki msaada kutoka kwake mbunge wa
taifa Luc Mulimbalimba Masururu.Hayo yatendeka mbele ya wanachama wao ofisini Mulongwa kwenye barabara kuu mtaa wa Fizi kwa Matoma.Mshauri mkuu wa mbunge wa Taifa akimuwakilisha mbunge mulimbalimba kwenye sherehe hizo, alikabizi pikipiki hio mpya kwake mwenyekiti wa chama tarafani.

Kwake mwenye kit iwa chama AFDC tarafani Uvira asema kushukuru sana kwa jambo hilo kutoka kwa mbunge waliochagua.


UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete