Mutarule-RDC: Ouverture officielle ce 12 août, du premier procès du massacre de Mutarule

rdc_sud-kivu_Mutarule arme_7 [br] Ouverture officiel ce vendredi 12 août, du premier procès du massacre de Mutarule après deux ans déjà .C’est avec l’appui de la MONUSCO, BCNDH, TRIAL, SFCG, CAP, avec la cour militaire du Sud-Kivu. Le procès se déroule à Mutarule dans la plaine de Ruzizi à plus de 50 kilomètres au nord d’Uvira.

Swahili

Kumezinduliwa rasmi siku ya tano AGOSTI 12 kesi ya kwanza zidi ya mauaji ya Mutarule baada ya zaidi ya miaka miwili.Yamezaminiwa na mashirika ya MONUSCO, BCNDH, TRIAL, SFCG, CAP pamoja na mahakama ya kijeshi ya jimbo ya kivu ya kusini.Kesi yafanyika jijini Mutarule bondeni mwa mto Ruzizi umbali wa kilometa 50 kaskazini mwa Uvira.


UO: Mazambi Mpenge Wakul’itete