Lubarika-RDC: Un hippopotame égaré fait terreur aux habitants du village de Lubarika

HippopotameUn égaré fait terreur aux habitants du village de Lubarika depuis le matin de vendredi, nous sommes à une distance de  plus de quatre vingt kilomètres au nord d’uvira dans la plaine de
Ruzizi.L’animal aurait quitter la rivière Ruzizi pour chercher à manger il se retrouve à plus de huit kilomètre de la rivière, dit la source locale .L’information est confirmé par la police et la société civile .

Swahili
Kiboko inatia wasiwasi tangu asubuhi ya siku ya tano,kwao raia waishio kijijini Lubarika. Ni umbali wa kilometa tmakumi munane hivi kaskazini mwa mji wa Uvira bondeni mwa mto Ruziziz.Mnyama huyo huenda alitokea kwenyi mto Ruzizi umbali wa kilometa zaidi ya nane akitafuta chakula, yataja duru ya mahali. Habari hio yahakikishwa pia na polisi pamoja na shirika la kiraia.

Pour UviraOnline: Mazambi M’penge