Kiliba le 17 juillet 2015
Tunayo huzuni kubwa yakuwajulisha kifo cha Chef de cité wa kiliba, muheshimiwa Alimasi Masasika Haramba. Kifo kilitokea leo le 17 juillet 2015 ku HGR/UVIRA kwa ugonjwa wa siku mingi. Habari zingine tutawaletea baadaye.
Tunatoa pole ku familia yote na ku watoto wa kiliba wote walipo duniani.
Pour UviraOnline: William Muyuku