Sous l’initiative de la Fédération des Entreprises du Congo FEC en sigle, leur membre contribue de l’argent pour la réhabilitation de la route national numéro cinq à Uvira.
Cette initiative inquiète la nouvelle société civile congolaise l’après midi de ce mardi, qui craint que la FEC demandera de l’argent aux usagers de la route non membre de cet organisme.
Kiswahili:
Kwa izini ya shirika ya wafanya biashara inchini congo FEC kwa ufupi, wanamemba wao watatozwa pesa za kukarabati barabara ya taifa ya namba tano jijini Uvira.Mradi unatia wasiwasi shirika mpya ya kiraia siku ya pili jioni ikiwa pesa hizo zaweza kutozwa kwao wanaotumia barabara ya taifa ya namba tano na sio wanamemba wa FEC.
Vidéo (2014) montrant la détérioration de la route en question:
UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete
Photos