Tunayo huzuni kubwa ya kuwajulisha kwamba kijana wetu BENJAMIN BYADUNIA KINGWENGWE ambaye alikuwa chef d’agence à la société nationale d’assurance UVIRA, (SONAS) hayupo tena.
Ametuacha jana le 30 juillet 2015 usiku na 22h kwenye hospital ndogo ya reboisement pa Kasenga Uvira.
Wametuambia kama alikufa na 35 ou 36 ans (tunangoja precision) na amemuacha bibi na mtoto umoja,
Tunasema pole sana kwa ndugu marafiki pia familia iliyo achwa, tuko pamoja katika wakati huu mgumu munaoupitia
Mungu aipumzishe salama roho yake.