Uvira-rdc: un homme tué par balle

Le 30/05/2016.
Un homme âgé d’une cinquantaine d’année est tue par balle à son domicile la nuit de samedi au dimanche. L’incident se déroule à Kagando Orac, nous sommes à la périphérie nord de la cité d’Uvira.
L’information est livre par les membres de la famille du défunt et confirmée par la police.

Selon le fils de la victime, son papa se reposait à la maison soudain aux environs de 19 heures, deux hommes
habillés en manteau noir lui ont logé trois balles dans la tête et au bras, il est mort sur place.
Il est a noter que cela intervient à quatre jour d’intervalle ou une femme a été tuée par balle à la périphérie sud d’Uvira dans ces même conditions.

Kiswahili

Mwanaume mmoja wa umri wa miaka zaidi ya makumi tano hivi aliuawa kwa risasi nyumbani kwake usiku wa siku ya posho kuamkia siku ya Mungu. Mkasa huo uliendeshwa eneo ya Kagando Orac kitongoji cha kaskazini mwa Uvira.

Habari hizo zilitolewa na jamaa wa karibu ya marehemu na kuhakikishwa na polisi. Kwa mujibu wa mtoto wa muhasirika, alieleza redio yako kwamba babake alikuwa amekaa nyumbani, ghafla saa moja za usiku, watu wawili wakivalia koti walipiga risasi tatu kichwani na mkononi na akafariki dunia hapo hapo.

Utajua kwamba hayo yalitukia bada ya siku inne ambapo mwanamuke mumoja aliuawawa katika mazingira yaaina hiyo kwenye kitomgoji cha kusini mwa mji wa Uvira ambapo mwanamke moja alipigwa risasi nje kidogo ya kusini ya Uvira katika hali hiyo .


UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itetebraqueurs-congo-Bandit