Uvira-RDC: Mwanaume mumoja kamupiga babake leo siku ya tano

 Uvira_Luvungi_WP_20151106_07_37_59_Pro[1][br] Mwanaume mumoja mkaaji wa kata ya Rombe ya 2 Mulongwe , kwenye barabara kuu, alimpiga babake asubuhi ya siku ya tano tarehe 06 november 2015. Babake anamushutumu kuhuzisha gari kubwa [camion] walilolinunua wakichangia na ambayo mtoto wake aliihuzisha bila kumupa sehemu yake.

Kwa mujibu ya shuhuda tulizo zipata kutoka eneo ya mkasa, zataja kwamba bwana huyo alimpiga babaye hadi kumwacha nguo zimemudondoka. Na sasa anajificha baada ya kutenda kitendo hicho.

Tulipohojiana naye mkuu wa mtaa, aeleza UviraOnline kwamba anashangazwa na hali hio ya kukosa nidhamu. Kwa upande wake muhasirika, anaomba wakuu viongozi kuingilia kati ili mtoto wake aazibiwe na sheria na kumlipa pesa zake.


Français:
UN HOMME BAT SON PÈRE LE MATIN DE VENDREDI À UVIRA.

Uvira_Luvungi_WP_20151106_07_38_06_Pro[1]Un homme habitant du quartier Rombe 2 sur la route principale à Uvira vient de tabasser son papa le matin de vendredi 06 novembre 2015. Le papa reproche son fils de vendre un camion qu’ils avaient acheté ensemble sans lui rembourser sa part.

Selon le témoignage recueillis sur le lieu de l’incident, le fils a tabasse son père jusqu’au point ou les habits sont tombés. l’homme en question serait en cachette après avoir commis ce forfait.

Contacter à ce sujet le chef d’avenue se dit inquiet de cette situation du manque de respect. Quant à la victime, il demande aux autorités de lui venir en aide, afin que son fils soit puni et lui rembourse son argent.

Pour UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete

Uvira_Luvungi_WP_20151106_07_18_07_Pro[1]