Uvira-RDC: Les élèves finalistes sont obligés de payer de l’argent pour obtenir les attestations de réussites

Eleve-à-UviraLes élèves finalistes sont obligés de payer de l’argent pour obtenir les attestations de réussites au près de leurs chefs d’établissements.

L’information est livrée ce mardi matin par le président de l’association national de parent d’élèves et étudiants du Congo ANAPECO en sigle. Il fais savoir que seul l’inspecteur principal provinciale a la qualité de livrer ce document aux élèves finaliste du secondaire.
Swahili:
Wanafunzi walioitimu miaka sita ya shule ya sekondari walazimishwa kulipa pesa nao wakuu viongozi wa shule ili kupata vibarua vinavyotaja kwamba walipata mtihani wa kiataifa.Habari hio yatolewa kwetu siku ya pili asubuhi naye mwenye kit iwa muungano ya wazazi inchini Congo ANAPECO kwa ufupi.Ajulisha kwamba ni inspecta mkuu jimboni pekee ndie anayeweza kuwapea wanafunzi vibarua hivyo.