Uvira-RDC: Deux hommes attaqués par les hippopotames.

Le mardi 21 février à huit heure du matin, deux hommes sont attaqués par deux hippopotames au quartier Kimanga. L’un est grièvement blessé et l’autre perd conscience peu après qu’ils soient sauver.

L’information est livrée par les président de pécheurs et confirmée par la police et les forces navales. Selon le rescapé monsieur Shauri habitant du quartier Kavimvira, ils étaient à deux à bord d’une pirogue, soudain ils sont attaqués par les hippopotames.
Notons que ces deux hommes sont hospitalisés à l’hôpital général de référence d’Uvira pour des soins. Contacter à ce sujet les infirmiers traitant précisent que l’état des patients s’améliore de plus en plus, celui qui a été blessé, l’hippopotame lui a mordis aux jambes et au front.

Kiswahili
WATU WAWILI WAVAMIWA NA VIBOKO

siku ya pili saa mbili asubuhi,watu wawili wavamiwa na viboko wawali kwenye kata ya Kimanga ziwani anganyika.Mumoja akaumia vibaya mwengine akapata mushtuko ya moyo na kupoteza fahamu baada ya kuokolewa.

Habari hizo zatolewa kwetu nao waasirika na kuhakikishwa na polisi pia askari jeshi wa majini.Kwa mujibu ya muasirika mumoja,bwana shauri ,alisema kwamba ,walikua wavuvi wawili ndani ya mtumbwi,gafla viboko wakawavamia .Utajua kwamba watu hao wawili wanalazwa kwenye hospitali kuu ya Uvira wanapopata matibabu zaidi.Tulipohojiana nao waganga,walitaja kwamba hali yao ya afya yaenda vizuri,licha ya kwamba
yule mumoja aliumizwa sana na kiboko kwenye miguu na kweny sura.


UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete