Uvira-RDC: Des congolais refoulés du Burundi

Plus de quarante personnes refoulés du Burundi passent la nuit dans la salle polyvalente du territoire d’Uvira depuis deux jours. Ils proviennent du territoire de Fizi fouillant les affrontements entre les Maimai et les Fardc.
Les détails avec notre confrère MAZAMBI M’PENGE WAKUL’ITETE

Kiswahili

Zaidi ya watu makumi inne walifukuzwa kutoka Burundi wanalala ndani ya chumba cha mikutano cha tarafa ya uvira tangu siku mbili sasa.Hawa walitokea tarafani Fizi wakikimbia mapigano kati ya jeshi la taifa na wa maiamai. Me3ngi zaidi naye mwenzetu MAZAMBI M’PENGE WAKUL’ITETE


UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete