Uvira-RDC: Albert MUKOGABWE II achukua uongozi wa collectivité chefferie ya bafuliiru

Le français suivra
Uvira_environnement_Mwami fuliiru_3Albert MUKOGABWE II MUZIMA WA SIMBA achukua uongozi wa collectivité chefferie ya bafuliiru tangu siku ya pili januari 19 mida ya saa mbili usiku.

Sherehe ya kuchukua madaraka ilifanyika mjini Uvira kwenye hoteli Eden city. Sherehe hio ilisimamiwa naye gavana wa jimbo ya kivu ya kusini Marcellin CHISHAMBO RUHOYA, akisindikizwa naye spika wa bunge jimboni Emile KADUDU BALEKE pamoja na gavana makamo. Hayo yametukia kwa vile mwami Adam KALINGISHI aliekua madarakani ameenda kusoma kwa inchi za inje, pia hakushiriki kwenye sherehe hizo. Wazee wa busara wa bafuliiru zaidi ya mia moja ndio walishiriki sherehe hizo.

Français:
Albert MUKOGABWA II MUZIMA WA SIMBA prends le règne de la collectivité chefferie de bafuliiru depuis la soirée de mardi 19 janvier.
Les cérémonies se sont déroulées à Uvira à l’hôtel  Eden city. Les cérémonies ont été présidées par le gouverneur du sud-kivu Marcellin CHISHAMBO RUHOYA, accompagné par le président de l’assemblée provincial et le vice gouverneur.
Cela a été faites par ce que le mwami actuel Adam KALINGISHI  doit aller poursuivre les études à l’étranger néanmoins il n a pas participé a ces cérémonies.Signalons qu’une centaine de sages fuliiru ont pris part à ces cérémonies.


Pour UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete