Sange-RDC: SENSIBILISATION SUR LES DROIT DE REFUGIES

À Sange, dans la plaine de Ruzizi, les autorités locales et le réfugiés Burundais sont sensibiliser sur leurs droits et devoirs. L’organisateur de ses assises, l’association ASED parle de la
vulgarisation des lois sur les droits et devoirs des réfugiés en RDC.

Kiswahili:
Mjini sange bondeni ùwa mto Ruzizi ,wakuu viongozi wa mahali na wakimbizi warundi wamehamasishwa kuhusu haki na mapashwa ya mkimbizi.waliotayarisha semina hio yaani shirika ASED, waeleza kwamba
ni katika lengo ya kujulisha haki na mapashwa ya mkimbizi inchini Congo ya kidemokrasia.