Remerciement & Photos: Kifo cha mama Nyota, Pastor Shemu na jamaa lake wanawashukuru

Ndugu na marafiki, Hamujambo,

Katika hali ya umoja na upendo, napenda kushukuru Jamaa la Benebuvira kibinafsi, na Communautés zetu zote za wasema Kiswahili kwa jumla,  kwa upendo mulio uwonyesha hapa kwetu Canada na Uvira DR Congo pia. Baada ya kupatwa na musiba wa kufiwa na Maman yetu Mzazi na Tate ya watoto.

Kwa hiyo tunatowa mkono wa shukurani kwa kila mtu aliye mbali na karibu aliye changiya kwa mbali na karibu kwa  kutuunga mukono, tangu siku ya Tano ya tarehe 04/03/ – 12/2016, musiba huu ulipo tokeya.

 Jamaa zetu zote mbili za Nashimbi na Nihatu zina towa mikono ya Shukurani, kwenu kwa ushujaa na upendo mulionyesha wakati wa kifo cha maman yetu Nyota Kashindi pa Montréal-Canada.

Basi kwa hiyo, Mwenyezi Mungu wa zamani zote, awabariki saaana daima. Na zaidi ya yote nawaomba tuendelee na umoja huu, na tuendeleya kuujenga zaidi.

Kwa niaba ya Jamaa letu,

SHEMU FALINGO RUSOMEKA na MYRIAM SHEMU SAIDI
[br] Sur le meme sujet: 
Programme ya kilio ya mama Nyota Kashindi pa Montréal