Mauwaji ya magaidi France, Kenya,… Wa afrika wanawaza nini.

france massacre [br] Leo tarehe 14 – 11- 2015 siku moja kabla mauwaji yalio pitika Ufaransa nimepata barua hii kutoka mutu moja ambaye anafata news za UviraOnline, naona niitie yote sawa jinsi aliiandika bila ku toa au kuongeza lolote.

Hei bro
Mimi nipo na question ambao nakosa jibu..

Kwanini ndugu zetu wa uvira, sud kivu, congo na Afrika kwa jumla, wakati watu walikua masacré Mutarule sijaona wana post kuhusu ilo? wa congomani wanakufa sana Beni.. Burundi watu wanakufa kila mara. Nigeria na sehemu zingine.

Ila leo mambo inatokea kwa mzungu kila mtu anaona kama ni mwisho wa dunia..

So point yangu ni ipi inabidi sisi wa afrika tuanze deal na tatizo zetu na sio tatizo ya mzungu tunajifanya ni letu. Mimi sipo happy sababu ya mambo ambao yametokea France ila naona kwamba ndugu zetu wa congomani wanaona kwamba maisha ya wa français ni muhimu kushinda maisha ya mu afrika ama mkongomani, ina uzunisha sana

Kila mwaka inapofika 9/11 utaona wa afrika wana post kuhusu ajali ilo, ila akuna siku utaona wa afrika wanapost kuhusu massacre ya Rwanda, Makobola na sehemu zingine.

Mimi nakuandikia ihi message sababu wewe ni mtangazaji na please saidia ndugu zetu naku wa elewesha kidogo, sababu music tunafanya naona ujumbe awapati..

asante sana.. M. B.

Kwa kweli leo pia nilijiuliza questions nyingi wakati niliona Facebook ilitengeneza application juu yawatu kuvala bendera ya ufaransa. Nikaona siyo wazo mbaya ila nikajiuliza kwa nini hawakufanya ivo wakati ma terroristes waliuwa wanafunzi 145 mwaka jana kenya. Karibu ya wale wali valisha picha zao bendera ya ufaransa niliandika ivi:

Mes condoléances aux Français partout au monde.
Mais aussi je me pose la question pourquoi Facebook nous a pas suggéré le drapeau Kenyan lors de l’attaque terroriste de Garissa au Kenya qui a fait 145 morts.

Hapa moja wabo ya majibu watu walinijibia:

Fatale question …..on va croire que c’est pour le symbole vu qu’il n’y a pas eu de drapeau turc non plus …..

Peut-être la France a faites les démarches nécessaires au près de Facebook concernant le drapeau .
Le problème en Afrique on ne fait pas nous même toutes ces démarches. on veut que les gens fasse á notre place.

C’est qu’en matière d’impact international le Kenya n’a pas le même statut stratégique. Les millions de congolais ou les tibétains non plus…là il y a clash geostrategique

Peut être parce que les Kenyans n’ont pas solicité Facebook de le faire.

Kaka hacheni uzahifu sisi congo tume kufa wengi sana ila hamujawayi ku pandisha bendera ya congo kifo pa:nord kivu,pa sange kwanini ya france.africa ?
Je ne sais pas trop peut être pcq nous sommes des africains william
Uko nyama sana naweye una soutenir Paris? Combien de congolais qui sont morts tu as vu combien de français devenir congolais tu es ignorant nyam.bonsoir
c’ert dela discrimination tjrs.

Nouvelles idees…ne jugeons pas les imperfections d’hier… tirons en les lecons parceque il y a tant a faire devant nous

 quel jour que les français ont changé leurs photos de profil pour soutenir les mascres qui passent chaque jour au congo?
Je suis d’accord avec vous à 100%. La discrimination facebook doit être condamné en même temps soyons derrière nos frères et sœurs de la France subissant ces événements brutaux de terreur

Malheureusement c est une question qui demeurera sans réponse quand bien meme que tous nous savons très bien la réponses….!

Niliandikia batu ya facebook kuuliza swali kwanini hawaku tengeneza application tuvae bendera ya Kenya kwenye facebook wakati kulikua mauwaji Garissa, ila mpaka ivi sijapata jibu. 


 

 Pour UviraOnline: William Muyuku