Kilio: Mzee Paster Mundere Naruhumba Yonathan amefariki leo le 24 oct 2016

mundere-naruhumba-yonathan-_Jamaa la Nashimbi linalo huzuni nyingi ya kuwatangazia kifo cho shokulu, baba mzee Paster Mundere Naruhumba Yonathan kilicho tokeya leo tarehe 24 oktober 2016 usiku pa Sange.
Marehemu mzee paster Mundere, alikuwa miongoni mwa watumishi kazaa ambao bado walikuwa bado hai kisha kupoteza wengine wingi myaka kazaa iliyopita (Matayo Kakina, Matayo Balibwa, Mzee Yunusi, Paster Kashali).
Mzee Mundere Naruhumba alikuwa muzaliwa wa Mahungubwe ambaye alitumwa kufanya kazi ya Mungu katika bonde la ruzizi. Kanisa la Ndunda linaushuhuda mwingi kumuhusu sababu ndiye muanzilishi wa Kanisa hilo.
Mzee Naruhumba Mundere alifanya kazi ya kufundisha (Mwalimu) myaka yakutosha.
Mbali na hayo alikuwa mukulima wa hali ya juu. Alikuwa mukulima wa kwanza Ndunda kupanda miti ili kuboresha mazingira. Alipanda miti hiyo kwakutumiya kamba, ndiomaa ’kapewa jina la Ingenier.
Mzee Mundere ilikuwa ni Biblithek kubwa. wanafunzi wengi wa ISP Bukavu na kwengine, walimutembeleya sana kwangambo ya recherche zao za masomo wakati wakuandika TFC, na Memoir.
Mzee Mundere ni myongoni mwa wazee ambao walijuwa tamaduni ya Mufuliiru. Aliongeya sana kwa midhali, (Imigani). 
Mzee Mundere aliacha watoto 6 na wajukuu wengi. 
Atazikwa kesho pa Ndunda ambako aliweza kufanyiya huduma zake za kipaster tangu ujana wake hadi leo Mungu anapoamua kumuvuna.

Tunaomba Mungu amupumuzishe mahali pema ambapo apo pumuzinsha wengine.


Message envoyé par Galuga B
mundere-naruhumba-yonathan-_