Kiliba-RDC: Mort du chef de cité de Kiliba Alimasi Haramba

Kiliba  le 17 juillet 2015
Tunayo huzuni kubwa yakuwajulisha kifo cha Chef de cité wa kiliba, muheshimiwa Alimasi Masasika Haramba. Kifo kilitokea leo le 17 juillet 2015 ku HGR/UVIRA kwa ugonjwa wa siku mingi. Habari zingine tutawaletea baadaye.

Tunatoa pole ku familia yote na ku watoto wa kiliba wote walipo duniani.
Pour UviraOnline: William Muyuku

Haramba Masasika_1