Kabindula-RDC: Maison brûlée d’une maman soupsonnée de recel et Perquisition des maisons des voleurs

uvira_sacage_justice-populaire [br] Perquisition de plus de cinq maisons au quartier Kabindula l’avant midi de jeudi. Plusieurs biens de valeurs saisi par le parquet de grande instance et plus de sept personnes soupçonnés de participer au vol et ou receleurs arrêtés. L’information est confirmée par une victime du vol armé très tôt matin de jeudi et confirmé par la nouvelle société civile congolaise,

Notons que des coups de balles ont été entendu pour disperser les jeunes en colère qui avaient déjà brûler une haie de la maison ou une maman soupçonnée de recel a été arrêtée à kalimabenge.

Swahili

Mahakama makuu imesopwa nyumba zaidi ya tano kwenye kata ya Kabindula mbele ya saa sita mchana ya siku ya inne.Vitu kadhaa vya thamani vilinyanganywa na watu zaidi ya saba hivi kutiwa nguvuni.Habari
hizozatolewa kwetu na muasirika wa wizi uliotekelezwa mapema ya siku ya inne na kuhakikishwa na shirika mpya ya kiraia.
Ufahamu kwamba risasi zilipigwa wakati vijana wenye hasira walikua wameisha chama moto upango ya mwanamule alietiwa nguvuni na kushakiwa kulinda vitu ya wizi hapo kalimabenge.

uvira_sacage_justice-populaire_1uvira_sacage_justice-populaire_2uvira_sacage_justice-populaire_3uvira_sacage_justice-populaire_


UviraOnline: Mazambi M’penge Wakul’itete