Insecurité: Attaque des hommes armés dans la plaine

rdc_sud-kivu_Mutarule arme_2 [br] Un cas d’assassinat et un autre de pillage des passagers des véhicules enregistrés le mercredi soir dans la plaine de Ruzizi. Il s’agit d’un homme abattu par balle au quartier Kyanyunda à son domicile à Sange et
deux véhicules tombés dans une embuscade tendu par des coupeurs de routes à Rushima. C’est un lieu inhabité situé entre Luberizi et Bwegera sur la route nationale numéro cinq.

Ces informations sur ces cas d’insécurité sont livrées par le président du conseil territorial de la jeunesse d’Uvira et confirmées par des sources administratives à Sange et Luberizi

Shambulio la watu wenye silaha bondeni Ruzizi 

Mauwaji ya mutu umoja na uporaji ya abiria wa gari yaripotiwa siku ya tatu jioni bondeni Ruzizi. Pia mtu umoja aliuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake kyanyunda mjini Sange bondenimwa mto ruzizi.Wakati
huohuo pia  gari mbili zilitekwa nyara na majambazi wenye silaha pa Rushima. Hapo ni eneo lisilo kaliwa na wakaaji kati ya vijiji vya Luberizi na Bwegera kwenye barabara ya taifa namba tano.

Habari hizi za usalama mudogo zatolewa naye kiongozi wa baraza la vijana wa Uvira na ku akikishwa na duru za viongozi pa Luberizi na Sange.