Goma-RDC: Mwanafunzi ameuwawa nakupigwa ya prof.

Goma etudiante tué par le profGoma leo le 17/12/2014 muma pande ya 8h huyu mwanafunzi ame pigwa na prof wake mpaka kupoteza maisha kisa kuchelewa.

Shida sana, ninajiuliza kwanini walimu hawa wangali wana ji comporter sawa mu periode ya colonisation kwenye wazungu walikua wanapiga weusi sawa mbuzi zao. Kwa leo huku ulaya (Canada) mutu hana hata droit yakupiga umbwa, pusi… wake na ukifanya ivo peine ya prison yako ni 5 ans.

Tuko mu 21e siècle 55 ans après départ ya ba belges na hao walimu wangali wanasikia mafieri yakupigana sawa nyama, hawapendi acha tabia za homme de caverne.

Kungelikua gisi, peuple, ONG za droit de l’homme,.. zipiganishe ili gouvernement itoe loi yaku protéger population yake contre hao wa professeurs primitifs.

Pole sana kwa famille yauyu dada. Que son âme repose en paix.

Pour UviraOnline: William Muyuku