Montréal: Fête à l’occasion ya mbuzi papa Mugosa alitumia mukwe Karume

Montréal le 16 avril 2016, Mzee Mugosa ba mukwe ya Karume Cikuta bwana ya Rehema Mugosa, alitumia mukweyake mbuzi kutoka Bukavu-RDC kwaku muchungia mtoto vizuri, njo couple hii ikasema haiwezi kula mbuzi hii wenyewe. Wakaita jamaa na marafiki pa Montréal, Ottawa na sehemu mbalimbali za province ya Quebec ili washereheye pamoja.
Couple Chikuta et Rehema Chikuta inasema asante kwa baba yao Mugosa na wa invités wote waliokuja kukula nao mbuzi hii.