Bukavu-RDC: Wavunja pesa wanaombwa kuondoka pembeni ya barabara

Bukavu centre ville [br] Wavunja pesa wanaofanya kazi zao kandokando ya barabara hapa mujini bukavu wanaombwa kuondoka pembeni ya barabara mbele ya tarehe 30 april 2016 ijayo. atuwa hiyo imechukuliwa na baraza ya usalama jimboni iliyo chimamiwa na mkuu wameya wa muji PHILEMON YOGOLELO LUTOMBO, kulingana na masemi yake: wavunja pesa wanaoitwa wa cambiste wanapashwa kuwa na fanya kazi zao ndani ya bureau d’échanger katika ali yakuwalindiya usalama ndani ya ofisi zinazojulikana kiserkali.

Vilevile meya wa muji aliongeza kusema kwamba wavunja pesa wanakwenda kuendesha kazi zao katika ali ya kihenyeji huku wakiwa wengi barabarani nakupelekeya pesa zao zinakwenda kuwekwa inje sehemu ambayo majambazi, wezi na watu wania mbaya wanakwenda kuziona kiolela.

Mbinu izo zakubadilisha atuwa hiyo hapa mujini kwa wavunja pesa zinakwenda kuonekana katika inchi jirani chini ya banki kuu. utafahamu kwamba viongozi wa mitaa na secta mbalimbali wanaombwa kuimiza raiya kwa muradi huo.


UviraOnline: Jefferson Nakatende